Accueil >  Term: Marekebisho ya Vita vya wenyewe kwa wenyewe
Marekebisho ya Vita vya wenyewe kwa wenyewe

Marekebisho ya katiba yaliyopitishwa baada ya vita vya wenyewe kwa wenyewe ili kuwaachilia huru Waafrika Wamarekani waliokuwa chini ya utumwa, kuwapa uraia na kuwahakikishia haki zao kama wananchi. Badiliko la kumi na tatu lilipitishwa mwaka 1865; badiliko la kumi na nne lilifanyika mwaka wa 1868; na badiliko la kumi na tano lilifanyika mwaka 1870.

0 0

Créateur

  • Jonah Ondieki
  • (Nairobi, Kenya)

  •  (Bronze) 283 points
  • 100% positive feedback
© 2024 CSOFT International, Ltd.