Accueil > Term: Uongozi unaoegemea katiba
Uongozi unaoegemea katiba
Wazo kwamba muundo na mamlaka ya serikali lazima yawe na msingi wake kwenye katiba iliyoandikwa na isiyoandikwa, ambayo sharti ithibiti mamlaka ya serikali.
- Partie du discours : noun
- Secteur d’activité/Domaine : Gouvernement
- Catégorie : Gouvernement et politique
- Organization: The College Board
0
Créateur
- Jonah Ondieki
- 100% positive feedback
(Nairobi, Kenya)